Nenda kwa yaliyomo

Fuljensi wa Ecija

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Fuljensi.

Fuljensi wa Ecija (alifariki 630) alikuwa askofu huko Andalusia, nchini Hispania, ndugu wa Leandro, Isidoro na Florentina.

Kwa ajili yake Isidoro aliandika kitabu juu ya vyeo vya Kikanisa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 14 Januari[1].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.