Nenda kwa yaliyomo

Kibatak-Alas-Kluet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kibatak-Alas-Kluet ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Waalas, Wakluet na Wasingkil kwenye kisiwa cha Sumatra. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kibatak-Alas-Kluet imehesabiwa kuwa watu 195,000, yaani Waalas 80,000,Wakluet 50,000 na Wasingkil 65,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibatak-Alas-Kluet iko katika kundi la Kibatak.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibatak-Alas-Kluet kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.