Reparata (labda Kaisarea Baharini, Israeli, 235 hivi - 250 hivi[1]) alikuwa msichana bikira Mkristo aliyeteswa na kuuawa kwa ajili ya imani yake katika dhuluma ya Kaisari Decius[2].

Mt. Reparata.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Oktoba[4].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
 
WikiMedia Commons
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.